From the recording Declare His Glory
Lyrics
Heshima Kwa Bwana (LYRICS)
Verse 1
Pokea Sifa, Utukufu, Mamlaka,
Uweza wote, sifa kuu, Heshima zote
Pre-chorus
Hakuna Mwingine,
Mwingine
Hakuna Mwingine
Isipokuwa Bwana x2
Isipokuwa Wewe.
Bwana
Chorus
Heshima x2
Heshima ni zako Bwana
Heshima x2
Heshima ni zako Bwana
Verse 2
Ni Nani (Nani) Anastahili
Kuvunja Mi-huri saba ya Kitabu Hicho
Hakuna (Hakuna) Mtu yeyote,
Mbinguni. wala duniani, hata chini Kuzimu
Pre-chorus
Hakuna Mwingine,
Mwingine
Hakuma Mwingine
Isipokuwa Bwana x2
Isipokuwa Wewe
Bwana
Hakuna Mwingine,
Mwingine
Hakuna Mwingine
Isipokuwa Bwana
Hakuna Mwingine,
Mwingine
Hakuna Mwingine
Isipokuwa Bwana
Bridge
Tazama Mwana Kondoo Simba wa Yuda
Alimwaga damu yake
Alikufa Msalabani
Ameshinda Kifo
Tazama Mwana Kondoo Simba wa Yuda
Alimwaga damu yake
Alikufa Msalabani
Ameshinda yote
Chorus
Heshima x2
Heshima ni zako Bwana
Heshima x2
Heshima ni zako Bwana
Pre-chorus
Hakuna Mwingine,
Mwingine
Hakuna Mwingine
Isipokuwa Bwana
Yesu Unaweza
Unaweza
Yesu Unaweza
Sifa Kwa Bwana x2
Sifa Kwa Wewe
Bwana
Yesu Umeshinda
Umeshinda
Yesu Umeshinda
Sifa Kwa Bwana x2
Sifa Kwa Wewe
Bwana